Francois Xavier, Daktari wa Macho, Dakar, Senegal
Dakar ni mji wa kuvutia. Nina marafiki wengi huko na naona uwezekano wangu wa kuishi huko siku moja ukiwa rahisi. Francois Xavier ni daktari wa macho katika mji huo. Miwani huuzika katika kiwango cha chini cha bei zinazouzwa kule London na duka lake lina maumbo mbalimbali ya kuvutia ya miwani hizo. Kwa hakika, mahala pa kwenda kutafuta miwani mpya ni hapa.